Ndugu
Kinana na Ujumbe wake wakipita kukagua jengo la Maabara katika shule
ya sekondari ya Mwakaleli,katika halmashauri ya Busokelo,Wilayani
Rungwe mkoani Mbeya.Mradi huo wa ujenzi wa madarasa na maabara ni
mpango serikali wa kuboresha shule za sekondari zilizopo kwenye kata
na Taifa kwa ujumla kwa kushirikiana na benki ya Dunia.
Pichani
chini, Ndugu Kinana akiwa amebeba tofali ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa
ujenzi wa madarasa katika shule ya sekondari ya Mwakaleli,katika
Halmashauri ya Busokelo,wilayani Rungwe.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa nyumba za Walimu wa Shule ya Sekondari ya Mwakaleli.



