JAMAL MALINZI AKABIDHIWA RASMI OFISI ZA TFF NA TENGA

Hongera sana; Tenga akimkaribisha Malinzi
Rais mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akiagana na Rais aliyemaliza muda wake, Leodegar Tenga baada ya hafla ndefu ya kukabidhiana ofisi iliyonakshiwa na hotuba kibao ndefu, Uwanja wa Karume, Ilala, Dar es Salaam mchana wa leo.   

Msalimie Musonye; Tenga sasa anabaki kuwa Rais wa CECAFA na Mjumbe wa CAF na FIFA.PICHA ZOTE NA BIN ZUBEIRY BLOG

Kuongoza mpira kazi; Malinzi akizungumza na Tenga wakati akienda kumuachia ofisi

Malinzi akiandika anayoelezwa na Tenga

Malinzi akinukuu hotuba ya Tenga, ilikuwa ndefu sana iliyosheheni mambo kibao

Umati ulioshuhudia zoezi hilo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo