Jeshi la Polisi kanda maalum Dar es Salaam linawashilikia raia 2 wa china wa Kiwanda cha Urafiki
Plastick Mabibo jijini DSM baada ya kukutwa na kiganja cha mfanyakazi wao
kilichokatwa na mashine wiki iliyopita
Endelea kusoma EDDY BLOG kwa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo hapo baadaye kidogo
