Msanii wa nyimbo za injili, Bahati Bukuku amefiwa baba yake mzazi Mzee Paul Bukuku baada kuugua kwa muda mrefu.
Marehemu Paul amefia katika
Hospitali ya Kardinali iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam na msiba upo
nyumbani kwa Bahati maeneo ya Tabata, jijini Dar es Salaam.
Mtandao huu wa EDDY BLOG unatoa pole nyingi kwa wote waliofikwa na masiba huo
