skip to main |
skip to sidebar
NAIBU MEYA MANISPAA YA MOSHI AFARIKI DUNIA
Naibu
Meya wa Manispaa ya Moshi Mh. Vicent Rimoy [Chadema] amefariki dunia
mchana wa leo kwa shinikizo la damu akiwa hospitalini alipokuwa
akipatiwa matibabu.
Mh. Vicent amekuwa naibu meya toka mwaka 2010 hadi kifo kilipomkuta siku ya leo
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi