MASKINI AMINI, ALILILIA PENZI LA LINAH


Mwimbaji kutoka THT Amini ameelezea pengo liloachwa moyoni mwake na aliyekuwa mpenzi wake  ‘Linah’, pengo ambalo kwa mujibu wake aliyechukua nafasi hiyo ameshindwa kuliziba.

Mwimbaji huyo ameyatoa yake ya moyoni kupitia Instagram na kuonesha kuwa bado anamhitaji Linah kwa kuwa ndiye mtu aliyekuwa anampa furaha na kwamba hakuwahi kumkosea.

Amepost picha inayomuonesha akiwa na Linah, na kuandika,
“Wakati kama huu ukifka uwa namuwaza sana uyu wa pembeni kiukweli ni mtu ambea aliweza kunipa furaha akuwahi nikosea alifnya ninachokitka ila nilipo sasa mmmmmh boko miss uuuuu linah kwani nini si nini tu.”


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo