WABUNGE WA CHADEMA WASUSIA KIKAO CHA BUNGE NA KUTOKA NJE

Wabunge wa Kambi ya Upinzani wametoka nje baada Naibu spika kushindwa kutolea ufumbuzi hoja za upinzani na kutaka kuwaburuza baada ya kusimama Tundu Lisu kuuliza muongozo kuhusu kuleta mswaada bila kuwahusisha Zanzibar huku Tanganyika wakihusishwa!

Naibu spika Job Ndugai (pichani) akatumia nguvu ya kiti cha spika kumzuia asiongee ndipo upinzani kutoka nje!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo