
Rais Jakaya
Kikwete amesema serikali yake itaendelea kuhakisha kuwa kuna
kuwepo na wataalamu wa kutosha katika vituo vya afya hasa
maeneo ya vijinini ambapo changamoto hiyo ni kubwa kuliko
mijini.
Mh
kikwete ameyasema hayo alipokuwa akifugua mkutano
wawafanyakazi na wadau mbalimbali katika sekta hiyo uliondaliwa
na taasisi ya Benjamin Mkapa
Naye
waziri wa afya na ustawi wa jamii Mh Dk Hussein Mwinyi
amesema katika kuhakikisha kuwa huduma za afya zinakuwa bora
serikali imejipanga kuona kuwa vituo vyote vipya vya afya vinapatiwa
wafanyakazi ili huduma ziweze kuwafikia watu wengi zaidi
Mkutano
huo pia ulihudhuriwa na rais mstaafu Mh Benjamini Mkapa ambaye ndiye
mwasisi wa taasisi hiyo.
Akizungumza katika mkutano huo Mkurugenzi
Mtendaji wa taasisi hiyo ya Mkapa Dk Hellen Senkoro amesema
wamejipanga vyema kuhakisha wanakabilina na changamoto za mabadiliko ya
upatiknai wa misada mkutoka kwa wafadhili mbalimbali kutokana na
mtikisiko wa uchumi uliotokea kipindi cha nyuma