POLISI WAMKAMATA MWANAMKE NA SARE ZA JWTZ

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salam limemkamata  Saida Mohamed huko Kigamboni akiwa na sare mbalimbali za jeshi la wananchi.

Kamishna wa kanda hiyo Suleiman Kova amesema katika tukio lingine  jeshi hilo limefanikiwa kuzima jaribio la wizi katika kampuni ya fast jet baada ya kunasa mawasiliano ya mtandao wa majambazi na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo