FRANCIS CHEKA APOKELEWA KWA SHANGWE MOROGORO

Bondia Francis Cheka akiwa sambamba na Mkanda wake aliokabidhiwa Agost 30 baada ya kumtwanga Mmarekani Phil William  mwishoni mwa wiki ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar,pichani bondia huyo akiwa na mashabiki wake wakati alipokuwa akiwasili mkoani Morogoro anakoishi mapema jana jioni.
                 Msafara kuelekea katikatika ya mji ukiendelea

Cheka akizungumza na umati mkubwa wa watu uliofurika kwenye ukumbi wa Old Vai jana majira ya saa 12 jioni kwenye mapokezi hayo ya Cheka kulikuwa na vituko kibao kikiwemo cha Mlemavu wa miguu aliyenusurika kugongwa na gari alipotaka kumshika mkono Cheka baada ya kuona tukuio hilo Cheka alisimamisha msafara huo na kumshika mkono Mlemavu huyo kwa habari na picha za tukio hilo la kuhudhunisha zitawajia hivi punde

PICHA ZOTE NA KWA HISANI YA DUSTAN SHEKIDELE,MOROGORO-


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo