MCHUNGAJI SELELI WA T.A.G KINYEREZI AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia punde kutoka vyanzo vyetu vya habari ni kwamba mchungaji Raphael Seleli wa kanisa la Tanzania Assemblies of God (T.A.G) Kinyerezi jijini Dar es salaam amefariki dunia hospitalini jijini hapa baada ya kusumbuliwa ugonjwa wa ini kwa kipindi cha takribani miezi mitatu sasa ambapo alipelekwa nchini India kwa matibabu kisha kurejeshwa nchini na kuendelea na matibabu mpaka kifo kilipomkuta jioni ya Jana.

Marehemu ameacha mjane na watoto watatu.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE.

chanzo: gk blog 



JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo