Kesho
jnne katika kipindi cha ''Joyce Kiria Wanawake Live'' utapata kuona
binti ambae huena akavunja rekodi ya kuolewa akiwa mdogo, ambae aliolewa
akiwa na miaka 8 tu. Haya ni maisha wanayopitia watoto wa kike kwenye
maeneo mbalimbali ya nchi yetu. usikose kutazama Wanawake Live kesho
saa 3 kamili usiku EATV.
chini ya hizi picha kuna video fupi ya huyu mtoto akielezea mkasa huo...
NILIPOMFUATA KISIMANI NILITEGEMEA KUSIKIA HABARI ZA SHULE, kumbe LOH???!!! ni mke wa mtu kwa miaka 4 sasa
| Aliyevaa nguo nyekundu ni mke mwenzake na Happy, mke mkubwa wa mwanaume aliyemuoa Happy. nae utamsikia katika kipindi cha ''Joyce Kiria Wanawakelive'' |
| Nikiwa na Mwanaharakati kutoka TAMWA Valeria, ambaye ameongelea mchakato wa rasimu ya katiba inamsaidiaje mtoto kwa haki zake. |