DK. KIGWANGALA ATOA KALI BUNGENI, ASEMA MBOWE AMESHIKISHWA ADABU KWA KUTOLEWA NJE YA BUNGE

Mbunge wa Nzega Dr. Kigwangalla, ametumia muda wake karibu wote wa kuchangia Muswada wa Katiba kwa kumshambulia M/Kiti wa CHADEMA, Mhe. Mbowe kuwa ni Mjinga, Mpuuzi, ametia aibu aibu ila ameshikishwa adabu!.

- Aidha, amedai kuwa Mbowe sio Mchagga bali ni mhuni fulani!.
- Ameongeza kuwa wapinzani wana akili za shetani!

Endelea kusoma zaidi hapa => http://bit.ly/1aSp43g


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo