BREAKING NEWS: MWANAMKE AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM LEO

Mama mmoja muda si mrefu mchana huu amekamatwa na dawa za kulevya akiwa amevalia bai bui kwa juu na kufunika sura alipanga kusafiri na ndege ya Ethiopian Airways. 

Sasa yuko kweny ulinzi wa polisi baada ya kumbamba na dawa hizo alizokuwa ameziweka kwenye plastic za Johnson Powder, 

habari zaidi inakujia hapa hapa

Chanzo: JF


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo