skip to main |
skip to sidebar
WATU SABA WANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE ILIYOTUA ZIWA MANYARA
Ndege ndogo ya shirika la
Tanzanair iliyokuwa ikitokea mjini Bukoba mkoani Kagera kwenda Dar ss
Salaam imelazimika kutua kwa dharura katika ziwa Manyara baada ya injini
yake moja kuzimika ghafla ikiwa angani.
Ndege hiyo ilikuwa na abiria
sita na rubani mmoja ambapo wote wamejeruhiwa na kukimbizwa katika
Hospitali ya Seliani mjini Arusha kwa matibabu.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi