WATANZANIA WAWILI WAJERUHIWA VIBAYA NA WATU WANAOKADIRIWA KUWA 20 HUKO UGIRIKI,. SHUHUDIA HAPA






Na Michuzi Blog

Salam Kaka Michuzi na Watanzania wote
 Naomba niwekee hizi picha nne za Watanzania wawili waliojeruhiwa vibaya na kikundi cha watu wapatao 20 hadi sasa haijajulikana ni akina nani kama ni Waalbania au Ni vishoka wengine au Wagiriki. 
 
Tukio limetokea jana usiku wakati walipopita karibu na watu hao waliowajeruhi ambao wanasema walikuwa wamevunja gari za watu kuiba sasa inaonekana kuwa walifikiria wataita polisi ndipo walipowavamia
 Ahsante - Mdau Ugiriki


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo