Pichani
juu ni baadhi ya taswira za makabidhiano ya gari aina ya FunCargo lenye
namba za usajili T789 AYS alilopewa Mzee Muhidin Gurumo na msanii
mahiri wa muziki wa Bongofleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' wakati
akizindua video yake mpya iitwayo 'Number One' jana katika hoteli ya
Serena jijini Dar es Salaam.
(Picha: Shakoor Jongo na Imelda Mtema / GPL)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube