Mhadhiri Patrick Rweyongeza enzi za uhai wake.
Waombolezaji wakiwa katika msiba Mbweni, jijini Dar es Salaam.
ALIYEKUWA mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar
es Salaam, Patrick Rweyongeza, na aliyeuawa na majambazi juzi
Jumatano maeneo ya Magomeni jijini Dar es Salaam akitokea Benki ya
NBC Ubungo na kuporwa shilingi milioni tano , anategemewa kusafirishwa
kesho kwenda kijiji cha Lunguya, Tabora vijijini kwa mazishi.
PICHA NA MAKONGORO OGING'/ GPL
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi