MHADHIRI WA CHUO KIKUU DSM ALIYEUAWA KUZIKWA TABORA

Mhadhiri Patrick Rweyongeza enzi za uhai wake.
Waombolezaji wakiwa katika msiba  Mbweni,  jijini Dar es Salaam.

ALIYEKUWA mhadhiri Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,  Patrick Rweyongeza,  na aliyeuawa  na majambazi  juzi Jumatano maeneo ya Magomeni  jijini Dar es Salaam  akitokea  Benki ya NBC Ubungo na kuporwa shilingi milioni tano , anategemewa kusafirishwa kesho kwenda kijiji cha Lunguya, Tabora vijijini kwa mazishi.

PICHA NA MAKONGORO OGING'/ GPL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo