Katibu Mkuu
wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa akifungua
kongamano la Uchumi na Ajira kwa Vijana wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi
wa Don Bosco jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Kamati ya Kimataifa
ya Chama cha Convervative cha Denmark, Rolf Aagaaro-Svenevosen na Katibu Mkuu wa chama wa vijana wa chama hicho, Nicholas
Jansen.
Baadhi
ya wafuasi wa Chadema wakinunua skafu, kofia za chama hicho wakati wa
kongamano la Uchumi na Ajira kwa Vijana wa Tanzania lililofanyika katika
ukumbi wa Don Bosco jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Vijana wsakiwa katika kongamano hilo.