DK. SLAA AFUNGUA KONGAMANO LA UCHUMI NA AJIRA KWA VIJANA

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa akifungua kongamano la Uchumi na Ajira kwa Vijana wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Don Bosco jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Chama cha Convervative cha Denmark, Rolf Aagaaro-Svenevosen na Katibu Mkuu wa chama wa vijana wa chama hicho, Nicholas Jansen.
 Baadhi ya wafuasi wa Chadema wakinunua skafu, kofia za chama hicho wakati wa kongamano la Uchumi na Ajira kwa Vijana wa Tanzania lililofanyika katika ukumbi wa Don Bosco jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), Dk. Willbrod Slaa akisalimiana na Katibu Mkuu wa chama hicho mrengo wa Vijana, wakati wa kongamano la Uchumi na Ajira kwa Vijana wa Tanzania lililofanyika leo katika ukumbi wa Don Bosco jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Vijana wsakiwa katika kongamano hilo.
Katibu wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA), Deogratius Munishi akisisitiza jambo.(PICHA NA HABARI MSETO BLOG)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo