WIZI WA UMEME WASHIKA KASI DAR

  
Vitendo vya wizi wa nishati ya umeme katika Manispaa ya Kinondoni vimeendelea kujitokeza ambapo baadhi ya wafanyabishara wa maduka wa Mtaa wa Kinondoni wamekuwa na tabia ya kujiunganishia umeme kinyume na taratibu za shirika hilo na kulisababishia hasara shirika hilo kama ilivyodhihirika pale maafisa wa shirika hilo walipokamata baadhi ya wafanyabishara hao


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo