WATOTO
wa mitaani ‘Chokoraa’ leo wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya
Sokoine Drive jijini Dar na kufunguliwa mashitaka ya uzururaji.
Watoto
hao walinaswa kwenye msako uliofanyika kwenye kituo kikuu cha mabasi
yaendayo mikoani ‘Ubungo Bus Terminal’.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za watoto hao na yeyote anayetaka kuwafuatilia afike kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu.(Credits GPL)
Watoto wa mitaani 'Chokoraa' wakipelekwa kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam.
Zifuatazo ni baadhi ya picha za watoto hao na yeyote anayetaka kuwafuatilia afike kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu.(Credits GPL)