skip to main |
skip to sidebar
UKATILI WA KUTISHA TABORA, MAMA ACHOMA MOTO MIGUU YA MTOTO WAKE KWA MADAI INASABABISHA AZURURE
Mtoto Ibrahim Kessy mwenye umri wa miaka minne anadaiwa kuunguzwa miguu na mama yake mzazi kwa tuhuma za kuzurura ovyo mitaani.
Mtoto huyo ambaye anaishi na mama yake mzazi mkoani Tabora anadaiwa
kufanyiwa unyama huo na mama yake baada ya kurejea nyumbani bila kumkuta
mwanaye.
Hatua hiyo ilimfanya mama huyo kuamua kumuunguza miguu
mwanaye kwa banio la Mkaa akidai miguu ndio inayomfanya atembee ovyo bila
kutulia nyumbani
Taarifa zaidi itakujia baara ya kuzipata kiundani toka kwa ripota wetu
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi