
Hii imetokea huko Gongolamboto, majambazi waliokuwa wamejihami kwa
silaha za kisasa walivamia kituo Kidogo cha polisi kilichoko
Gongo la mboto na kuwateka polisi waliokuwemo kituoni humo na kuwafungia
mahabusu ya kituo hicho,
majambazi hao pia waliwajeruhi na walitaka
silaha zaidi na radio call, hata hivyo walishindwa kwa kuwa radiocall
haikuwa na chaji(aibu nyingine ya jeshi la polisi) waliondoka wakiwaacha
polisi ndani ya lockup yao mpaka walipokuja kuokolewa na wananchi
Source; Radio Wapo, Radio Tumaini