Katika kudhihirisha kweli marehemu Albert Mangwea ni kipenzi cha watu, wakazi wa Mikese mkoani Morogoro wamelazimika kufunga barabara ili waruhusiwe kuuaga mwili wa marehemu, na tumetaarifiwa kuwa wananchi hao wameruhusiwa kuuaga mwili, na ndipo msafara ukaendelea na safari
Mungu wabariki wote wanaousafirisha mwili wa Mangwea hadi nyumbani kwao ili wafike salama, AMEN
