
Mwanamuziki Khadija Kopa akilia kwa uchungu kufuatia kifo cha mumewe aliyezikwa hii leo

waombolezaji wakipeleka mwili wa marehemu kaburini



Waombolezaji wakiweka udongo kwenye kaburi la mume wa Khadija Kopa, marehemu Jafarri Ally
Picha kwa hisani ya addiface Jackson