PICHA ZA MAANDALIZI YA KUUAGA MWILI WA MANGWEA UWANJA WA JAMHURI MOROGORO

Kufuatia umati wa watu uliojitokeza jana kuupokea mwili wa mangwea,familia ndugu na jamaa kwa kushirikiana na uongozi wa serikali ya mkoa wa morogoro,kwa pamoja wameamu shughuri za kuaga mwili wa msanii huyo zifanyike ndani ya uwanja wa Jamhuri badala ya nyumbani kwa mama mangwea Kihonda Mazimbu Road.

CREDITS:GPL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo