Wakazi wa mjo wa
morogoro waanza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu albert
Mangwea kabla ya kumpeleka katika Nyumba yake ya Milele. Mungu ailaze
roho ya Marehemu Mahala Pema.
Baadhi
ya wasanii na wananchi waliohudhulia uwanjani wakati wa kuaga mwili wa
marehemu albert mangwea uwanja wa jamhuri morogoro.
Watu wakiaga mwili wa Marehemu albert mangwea uwanja wa Jamhuri morogoro

