MTOTO WA KING MAJUTO ANASA KURASA ZA MITANDAO YA KIJAMII ZINAZO TUMIA JINA LA BABA YAKE

Hamza King Majuto
MTOTO wa King Majuto ''Hamza King Majuto'' Baada ya kufanya mahojiano mafupi na mwandishi wa Masai Nyotambofu kupitia ujumbe wa Simu ya mkononi, ''Hamza'' alikanusha kuwa baba yake hajawahi kujihusisha na mtandao wowote wa kijamii hivyo yeyote Anaetumia Jina la Baba yake kwenye mtandao wowote wa kijamii yeye atamfuatilia nakumchukulia hatua za kisheria maana Si sahihi kutumia jina la mtu bila ridhaa yake, Aidha kwenye Facebook, twitter, BBM, INSTERGRUM na mingiyo. Yeye atakomaa nao sheria itafuata mkondo wake. Baadhi ya kurasa alizo zibamba hizi hapa chini.

 Hizi hapa juu na chini ndizo kurasa za facebook alizozinasa Hamza King Majuto zikitumia Jina la mchekeshaji nguli hapa nchini King Majuto kinyume cha Sheria.
 
Hamza alivyochati na mwandishi messege zao cheki hapa chini


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo