Gari
iliyobeba mwili wa Albert Mangwea ikisukumwa na washabiki,wapenzi ndugu
jamaa na marafiki mara baada kuanza kuondoka eneo la Eapoti hivi punde
wakielekea Muhimbili kwa taratibu nyingine,Mungu ailaze roho ya marehemu
mahali pema peponi--Amen
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube