MAJAMBAZI YAUA KWA RISASI IRINGA, YAPORA FEDHA KIBAO

 Wananchi  wa Zizi la Ng'ombe mjini Iringa  wakiwa kando ya gari ambalo marehemu  alijificha  chini ya uvungu baada ya  kupigwa risasi na majambazi hao
 Mwili  wa marehemu huyo aliyetambulika kwa jina la baba  Daudi  ukiwa katika  gari la polisi

 Huu ndio  mwili  wa marehemu  huyo baada ya  kupigwa  risasi na watu wanaosadikika  kuwa ni majambazi  leo
 Hapa penye damu ndipo alipopigwa  risasi
 Askari  polisi  wakiushusha mwili  huo tayari kuuhifadhi  chumba cha maiti Hospitali ya Rufaa ya mkoa  wa Iringa 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo