LEO NI SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

Leo ni siku ya Mazingira Ulimwenguni, na kauli mbiu ya mwaka huu ni "Fikiria, Kula na Uhifadhi Mazingira". 
 
Siku hii hutumiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la kutunza Mazingira - UNEP kuwafahamisha watu kote ulimwenguni kuhusu uharibifu inaofanywa, na kuwataka wachukue hatua. 
 
Katika visiwa vya Pemba, kuna Shirika moja lisilo la kiserikali linaloshughulika na hifadhi ya mazingira linalojulikana kama – Community Forests Development, na limefanikiwa kupanda miti milioni moja katika kampeni ya kuwahimiza wananchi kuhifadhi mazingira.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo