HIVI NDIVYO VIONGOZI WA JUU WA CHADEMA WALIVYOJIPELEKA KITUO CHA POLISI ARUSHA JANA

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akitoka Polisi baada ya kuhojiwa jana, wa pili kulia ni Mbunge wa Musoma mjini-Chadema Vicent Nyerere.
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe (wa pili kulia) akiongozana na Mbunge wa Arusha mjini-Chadema, Godbless Lema(wa kwanza kushoto) wakitoka Polisi baada ya kuhojiwa jana katikati ni mbunge wa musoma mjini-Chadema Vicent Nyerere.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo