TAZAMA KIPA WA YANGA ALIVYOIPANGUA PENALTI YA SIMBA LEO

Kipa wa Yanga, Ali Mustafa Bartez, akiokoa mpira wa penalti iliyopigwa na Mussa Mude wa Simba (kushoto) kwenye pambano la ligi kuu ya soka ya Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo klabu ya Yanga African ameifunga klabu ya Simba sport kwa mabao 2-0 bao la kwanza limefungwa na kavumbago na pili limefungwa na Hamis Kiiza


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo