MRADI WA KUINUA WANAWAKE KIUCHUMI WAZINDULIWA LEO

 Mkurugenzi Mtendaji wa CONCERN-Tanzania Bw. James Davey kushoto akieleza namna shirika lake litakavyo tekeleza mradi huo,Katikati ni Mhe.Naibu Waziri Ummy Mwalimu na Kulia ni Balozi wa EU nchini Mhe. Filberto Cerian Sebregondi.

Katika Picha ni Uzinduzi wa  Mradi wa Kuwainua Wanawake Kiuchumi na Kijamii,Mradi unaotekelezwa na Shirika la Kimataifa la CONCERN Tanzania katika Mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu,Kigoma na Masasi. Mradi huo Unafadhiliwa na European Union, Umezinduliwa leo jijini Dra es Salaam katika Ofisi za CONCERN Tanzania na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia  na Watoto, Mhe, Ummy Mwalimu.
 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy (katikati ) akielezea namna Wizara inavyowasaidia wanawake kujiinua Kiuchumi na Kijamii. Kushoto kwake ni .Balozi wa EU nchini Mhe.Filberto Cerian Sebregondi.
Balozi wa EU nchini Mhe. Filberto Cerian Sebregondi (katikati) akiteta jambo na Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii(kushoto) na MKurugenzi wa Shirika la CONCERN _Tanzania Bw. James Davey.
Sehemu ya Wageni waliohudhuria Uzinduzi huo


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo