KWA MTAZAMO WANGU HILI SHIMO LA TAKA NI HATARI KUBWA MAKETE

Hili ni jalala ambalo lipo kwenye Hoteli moja maarufu hapa wilayani Makete, kama unavyoona mwenyewe lilijaa na wakachimbua na kuzisogeza hizi taka pembeni na nyingi inaonekana si za kuoza, je mwisho wa hili ni nini jamani? Hii ni hatari wa watoto ambao wanaweza kwenda kukuchezea eneo hili na yakawakuta ya kuwakuta ama pia taka hizi kupeperushwa kwa upepo kuelekea mitaani


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo