Spika wa bunge Anne Makinda amelazimika kusitisha shughuli za bunge hadi kesho asubuhi kufuatia vurugu zilizoibuka huko Mtwara hii leo
Sababu za kuahirisha bunge ni kutoa nafasi kamili kwa serikali kuja na taarifa kamili ya vurugu hizo
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi