
Naibu
Katibu Mkuu Ikulu Mama Suzana Mlawi (mwenye blauzi ya kijani) na
Mkurugenzi wa Huduma Ikulu Bw. Julius Mogore(mbele) wakiongoza
shughuli za usafi kuzunguka maeneo ya Ikulu jijini Dar es salaam leo
Machi 1, 2013 katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Afrika. Siku hiyo
itaadhimishwa kitaifa siku ya Jumapili.



Picha juu ni Wafanyakazi
wa kila kada Ikuluy bila kujali nyadhifa zao wanafanya kazi bega kwa
bega kuhitimisha Siku ya Mazingira Afrika kwa kufanya usafi.Picha Zote na IKULU