BASI LA KILIMANJARO EXPRESS LAPATA AJALI MOMBO


Pichani juu na chini ni baadhi ya abiria wakiwa nje ya basi  la Kilimanjaro Express lenye namba za usajili T860 BVA walilokuwa wamepanda wakitokea jijini Dar kuelekea jijini Arusha mapema leo asubuhi.

Ajali hiyo imetokea eneo la Mombo ambapo chanzo chake  kinaelezwa kuwa  dereva wa basi hilo alikuwa akimkwepa mwendesha baiskeli, matokeo yake basi hilo likakosa mwelekeo na kupinduka. Katika jali hiyo inaelezwa kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa lakini hakuna aliyepoteza maisha.(Picha na Issa Michuzi)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo