MSANII BK WA TMK WANAUME HALISI AFARIKI DUNIA

Habari zilizotufikia punde zinadai kuwa msanii mahiri kutoka kundi la TMK wanaume halisi anayefahamika kwa jina la BK amefariki dunia leo asubuhi akiwa anapatiwa matibabu ya ugonjwa wa ini katika hospitali ya Taifa Muhimbili

Miongoni mwa nyimbo za kundi hilo ambalo lina maskani yake wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, na sauti ya BK kusikika ni Ndege tunduni

Habari zaidi endelea kufuatilia mtandao huu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo