HIVI RUMBESA HIZI HADI LINI?

Maroba yenye viazi yakiwa yameungezwa ukubwa unaoitwa rumbesa ambao wakulima wa viazi huibiwa na wanunuzi,kitendo ambacho Serikali inakipiga vita lakini mamlaka husika ikilifumbia macho suala hilo linalowaumiza wakulima ambao ndio wazalishaji
 viazi vilivyonunuliwa kwa wakulima vikiwa tayari kwa kusafirishwa kwenda sokoni
viazi vikiwa vimefunikwa kwa turubai kata ya Madope wilayani Ludewa ambako wanunuzi wanawaibia wananchi kwa kuweka Rumbesa


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo