ASANTE YA CRDB KWA JAMII YA NJOMBE


 Meneja wa tawi la CRDB Njombe, Alison Andrew akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini
 Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini
 Mkuu wa kituo cha Tumaini, Sister Coletha Ponela (kushoto) akifuatana na mkuu wa wilaya ya Njombe, Sarah Dumba pamoja na maofisa wa benki ya CRDB wakielekea ukumbi wa kituo cha Tumaini.
 Watoto wa kituo cha Tumaini wakiimba mbele ya mkuu wa wilaya na wageni kutoka benki ya CRDB
Mkuu wa wilaya ya Njombe Mhe Sara Dumba  akikabidhi zawadi
 Maafisa wa Benki ya CRDB wakishusha zawadi walizotoa kwa watoto wa kituo cha Tumaini
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 
Katika kuishukuru jamii ya wakazi wa Njombe kwa kuliwezesha tawi la Benki ya CRDB Njombe kupata mafanikio makubwa kibiashara katika mwaka 2012, benbki hiyo liliandaa zawadi kwa watoto yatima wa kituo cha Tumaini Ilunda kilichopo Njombe pia tawi likaandaa tafrija fupi iliyohusisha wateja wa benki na wadau wengine wa Benki wa mkoani Njombe. 
 
Tukio la zawadi kwa watoto yatima wa lilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Njombe, Mhe Sarah Dumba
 


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo