ZIARA YA MBUNGE WA LUDEWA YAIBUA MENGI

 Filikunjombe akikata utepe katika ziara yake kijiji cha Ludende

katibu wa mbunge wa jimbo la Ludewa Bw.Stanrey Gowele akiwaeleza jambo waandishi wa habari ndani ya boti kushoto ni Festus Pangani mtangazaji wa kituo cha radio cha Best FM kilichoko Ludewa mjini katikati ni mwandishi Bw.Nickson Mahundi,picha ya juu ni Mbunge Filikunjombe akigawa vifaa vya michezo kwa vijana wa kijiji cha ndoa kata ya Makonde.
Mwandishi wa mtandao Bw.Nickson Mahundi akifurahi jambo katika ziara ya Filikunjombe ziara hiyo ilifanyika hivi karibuni katika kata za mwambao wa ziwa nyasa wilayani Ludewa kwa kutumia usafiri wa boti.PCHA NA NICKSON MAHUNDI


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo