Mwanachama wa Mtandao wa Jinsia
Tanzania (TGNP) Bi. Asseny Muro akitoa maoni ya mtandao huo kuhusu
Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo
(Jumatano, Jan. 9, 2013), katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam.
Kulia kwake ni Mwenyekiti wa TGNP Bi. Mary Rusimbi na Mjumbe wa Bodi ya
mtandao huo Prof. Ruth Meena.
picha na Omega S. Ngole,
Principal Information Officer,
Constitutional Review Commission (Tanzania),



