| Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akitoa maelekezo kwa Waziri wa Ujenzi Dkt John
Pombe Magufuli, Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa
Fedha Dkt William Mgimwa kabla hajahutubia Jumatatu mkutano mkubwa wa
hadhara mjini Nzega katika ziara yake ya siku nne ya mkoa wa Tabora
ambapo anazindua miradi kadhaa ya maendeleo ikiwemo barabara, daraja na
maji. |