Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Wafanyabiashara wa Mtwara kuhusu
mgogoro wa gesi kwenye ukumbi wa VETA mjini Mtwara, Januari 28, 2013.
Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Joseph Simbakalia.(Picha na Ofisi
ya Waziri Mkuu).
Mfanyabiashara
wa Mtwara, Fatuma Embe akichangia katika mkutano kati ya Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda na wafanyabiashara wa Mtwara kuhusu gesi kwenye ukubi wa
VETA mjini Mtwara.
Baadhi
ya Wafanyabiashara wa Mtwara wakinyosha mikono kuomba nafasi ya
kuchangia katika mazungumzo kati yao na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
kuhusu mgogoro wa gesi kwenye ukumbi wa VETA mjini Mtwara.