KIJANA Abubakar Salum akimuonesha mwandishi shoti ya umeme
iliyounguza soketi inayoingiza moto ndani ya nyumba hiyo.
WAKAZI wa Mlandizi wakimuonesha waya ulioanguka na kusababisha shoti kubwa, waya ambao umetoka kwenye nguzo yenye ukubwa wa KV33 ambao umesababisha nyumba zaidi ya 50 kunusurika kuteketea kwa moto.
WAKAZI hao wakionesha nguzo ya umeme iliyopita juu ya paa za nyumba zao hali inayolalamikiwa na wakazi hao. MKAZI Rajabu Mbawala akiwa ameshika mshikio wa waya unaoshikilia waya zinazowekwa kwenye nguzo za umeme ambao umeanguka muda mfupi baada ya mazungumzo kati ya wakazi hao mwandishi hali iliyosababisha taaruki. PICHA ZOTE NA MDAU SAID MWENGE
WAKAZI wa Mlandizi wakimuonesha waya ulioanguka na kusababisha shoti kubwa, waya ambao umetoka kwenye nguzo yenye ukubwa wa KV33 ambao umesababisha nyumba zaidi ya 50 kunusurika kuteketea kwa moto.
WAKAZI hao wakionesha nguzo ya umeme iliyopita juu ya paa za nyumba zao hali inayolalamikiwa na wakazi hao. MKAZI Rajabu Mbawala akiwa ameshika mshikio wa waya unaoshikilia waya zinazowekwa kwenye nguzo za umeme ambao umeanguka muda mfupi baada ya mazungumzo kati ya wakazi hao mwandishi hali iliyosababisha taaruki. PICHA ZOTE NA MDAU SAID MWENGE



