skip to main |
skip to sidebar
KIWANDA CHA CHEMICOTEX-AFRICANA, DAR CHATEKETEA KWA MOTO JIONI HII
Kiwanda
cha ChemiCotex kilichopo huko Africana njia ya Tegeta jijini Dar es
Salaam kinawaka moto muda huu, saa kumi na mbili jioni.
Wadau wetu wakiwa katika eneo la tukio wametutumia picha hizi.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi