DIAMOND AKANA KUTOKA KIMAPENZI NA WOLPER


Diamond Amekanusha Uvumi kuwa anamahusiano ya Kimapenzi na Jaqueline Wolper Nakusema Kuwa Picha zilizo onyweshwa kwenye magazeti ni za video ya Keisha 'Nimechoka' aliyo Shirikishwa Diamond.

 Plantnumz amesema video shoot ya wimbo huu ilianza Miezi miwili iliyopita na kuja kukamilika wiki Mbili zilizo pita na ndio scene ya video hio inamuonyesha akiwa karibu na Wolper.

Pia Diamond amesema Msichana yoyote atakaye sema ni Girl Friend wake kwa sasa Ni Muongo kwani yeye yupo single kwa sasa na hana mpango wa kutangaza Mpenzi wake atakaye mpata. 
 
Hivi karibuni Diamond Alikaririwa na sammisago akisema `Simba akiwa Karibu na Swala, Watu wanadhani Anamla, Ila Kuna Muda Simba Anashiba'


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo