BUNGENI KULIVYONOGA HII LEO

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya ya Rais (mahusiano na Uratibu), Stephen Wasira (kulia) akisalimiana na Mbunge wa Arusha mjini-CHADEMA Godbless Lema.
 Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai-Chadema Freeman Mbowe(kulia) Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini-Chadema na Vicent Nyerere Mbunge Musoma Mjini-CHADEMA
 Waheshimiwa Wabunge Kutoka Kulia ni Mwingulu Nchemba (Singida-CCM)-kulia, Joseph Selasini (Rombo-CHADEMA),a Mosses Machali (NCCR-Mageuzi- Kigoma mjini) katika viwanja vya bunge.
 Baadhi wa wabunge wakielekea katika ukumbi wa mkutano Bungeni mjini Dodoma.
Naibu waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene akijibu hoja mbalimbali za wizara yake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo