Mpiga
bass wa bendi kongwe Msongo Ngoma, Ismail Mapanga amefariki katika
hospitali ya Temeke jioni hii.
Mapanga aliaanza kuumwa wakati bendi
ikiwa safarini katika safari yao mkoani Tabora karibuni. Taratibu za
mazishi zitawekwa hapa mara zitakapopatikana.
Mungu amlaze pema peponi Amin
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi